dwin TZA katika MillardAyo.Com – Dakika 3 zilizopita
[image: NDALIOOOOO] Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Professor Joyce Ndalichako alivunja bodi ya Tume ya vyuo vikuu Tanzania (TCU), baada ya kubaini kuwa tume hiyo ilipitisha majina ya wanafunzi 486 wasio na sifa kusomea Shahada ya Elimu. Professor Ndalichako alitangaza uamuzi huo ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha kazi baadhi ya Maafisa wa Tume […] The post Aliyesimamishwa kazi na Waziri wa Elimu,Ndalichako amezungumza haya..(+Audio) appeared first on MillardAyo.Com.
AUDIO: Mkwasa ameongea mambo mawili kuhusu Cannavaro na tathmini ya Taifa Stars
Rama Mwelondo TZA katika MillardAyo.Com – Saa 1 iliyopita
[image: IMG_0054] Kocha wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Charles Boniface Mkwasa amerejea na kikosi chake akitokea Nairobi Kenya alipokuwa anacheza mechi ya kirafiki na timu ya taifa ya Kenya Harambee Stars jana May 29 2016 na kumalizika kwa sare ya goli 1-1, Stars walifunga goli la kuongoza na baadae Kenya kusawazisha kwa mkwaju wa penati. Baada ya […] The post AUDIO: Mkwasa ameongea mambo mawili kuhusu Cannavaro na tathmini ya Taifa Stars appeared first on MillardAyo.Com.
Wabunge Saba wafungiwa kuhudhuria vikao vya bunge
Newsroom TZA katika MillardAyo.Com – Saa 1 iliyopita
[image: BUNGENI] Kamati ya Maadili, Haki na Madaraka ya Bunge imewatia hatiani wabunge saba kwa makosa mbalimbali ikiwemo kudharau madaraka ya bunge. Wabunge Easther Bulaya na Tundu Lissu wameadhibiwa kutokuhudhuria vikao vilivyobaki vya mkutano wa tatu na vikao vyote vya mkutano wa nne. Wabunge Pauline Geku, Halima Mdee, Zitto Kabwe, Godbless Lema wasiudhurie vikao vyote vilivyobaki vya mkutano […] The post Wabunge Saba wafungiwa kuhudhuria vikao vya bunge appeared first on MillardAyo.Com.
MANARA, MURO WAKUTANA MSIBA WA KIONGOZI WA SIMBA, MURO ASEMA KUNA MAISHA BAADA YA SOKA
saleh ally katika SALEH JEMBE – Saa 1 iliyopita
Wasemaji wa klabu mbili kongwe nchini Yanga na Simba, wamekutana msibani. Jerry Muro wa Yanga na Haji Manara wamekutana kwenye msiba wa aliyewahi kuwa kiongozi wa Simba, Said Pamba ambaye amezikwa leo jijini Dar es Salaam. Wawili hao wamekutana wakati wa msiba huo Manzese na Muro ameeleza kwamba masuala ya mpira na ushirikiano wa kibinadamu ni muhimu. “Kuna maisha baada ya soka, sisi ni maadui. Simba na Yanga ni watani, kwenda kwangu msibani ni kuonyesha sisi ni watu tunaoweza kushirikiana. “Tumekuwa pamoja na rais wa Simba, mzee Dalali, rafiki yangu Haji na wengine wengi,” alise… zaidi »
ANGALIA RASHFORD ALIVYOINGIA MKATABA MPYA NA MAN UNITED
saleh ally katika SALEH JEMBE – Saa 1 iliyopita
Manchester United imeingia mkataba mpya wa miaka minne na kinda Marcus Rashford. Mkataba huo, Rashford atakuwa akipokea pauni 25,000 kwa wiki kabla ya bonas. Kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 amekuwa gumzo katokana na uwezo wake mkubwa wa kufunga. Pamoja naye, kinda mwingine Cameron Borthwick-Jackson naye ameingia mkataba wa mpya hadi mwaka 2020.
UEFA wametangaza majina 18 ya wachezaji wanaounda kikosi bora cha mwaka 2016, England hakuna hata mmoja
Rama Mwelondo TZA katika MillardAyo.Com – Saa 1 iliyopita
[image: United’s Marcus Rashford celebrates after scoring during the Europa League round of 32 second leg soccer match between Manchester United and FC Midtjylland in Manchester, England, Thursday, Feb. 25, 2016 . (AP Photo/Jon Super)] Ni siku mbili zimepita toka tushuhudia ile fainali ya michuano ya klabu Bingwa Ulaya kwa mwaka 2016, fainali ambayo ilichezwa katika uwanja wa San Siro Milan Italia, hiyo ilikuwa fainali inayozihusisha timu kutoka nchi na jiji moja Hispania Atletico Madrid dhidi ya Real Madrid. Leo May 30 2016 shirikisho la soka barani Ulaya limetangaza majina […] … zaidi »
VIDEO: Freeman Mbowe kazungumza baada ya Wabunge kutolewa tena bungeni
Msombe TZA katika MillardAyo.Com – Saa 4 zilizopita
[image: vlcsnap-2016-05-30-18h20m39s246] Headline za Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ilitangaza kuwafukuza jumla ya wanafunzi 7802 kutoka Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kufuatia mgomo wa Walimu unaoendelea hivi sasa zimeendelea kuchukua nafasi Bungeni Dodoma. Asubuhi ya May 30 2016 Baadhi ya Wabunge kutoka vyama tofauti walisimama Bungeni kuomba suala hilo kujadiliwa lakini ombi hilo halilikubalika […] The post VIDEO: Freeman Mbowe kazungumza baada ya Wabunge kutolewa tena bungeni appeared first on MillardAyo.Com.
Kama ulikamatwa na kosa barabarani ndani ya hizi siku tisa kuanzia May 20 2016 umechangia hizi milioni
Cosmas TZA katika MillardAyo.Com – Saa 4 zilizopita
[image: traffic-lights-at-night] Polisi Kanda maalum Dar es salaam kupitia kitengo cha usalama barabarani wametoa taarifa ya makosa ya barabarani kuanzia May 20 2016 hadi May 29 2016 kuwa wamekamata magari mbalimbali kwa makosa ya usalama barabarani na jumla ya Tsh Milioni 548.16 zimekusanywa ikiwa ni faini kwa makosa hayo kwa muda wa siku 9. Aidha Kamishna wa […] The post Kama ulikamatwa na kosa barabarani ndani ya hizi siku tisa kuanzia May 20 2016 umechangia hizi milioni appeared first on MillardAyo.Com.
WANYAMA AUKUBALI MZIKI WA TAIFA STARS, ASHANGAZWA KUSIKIA HAKUNA WA KULIPWA
saleh ally katika SALEH JEMBE – Saa 4 zilizopita
Nahodha wa timu ya taifa ya Kenya, Victor Wanyama anayekipiga Southampton ya England amekisifia kikosi cha Taifa Stars kwa kuonyesha soka safi huku akishangazwa kwamba hakukuwa na mchezaji hata mmoja wa kulipwa. Stars ilicheza mechi ya kirafiki dhidi ya Kenya kwenye Uwanja wa Moi Kasarani jijini Nairobi, jana na kutoka sare ya bao 1-1. “Unasema leo hamkuwa na professional pale uwanjani?” alionyesha kushangaa Wanyama. “Basi mna kikosi kizuri. Wengi ni vijana, wanaweza kama mkicheza kwa kutubana kama mlivyobana hapa, Misri mnaifunga na hata hao Nigeria, si ajabu nikasikia mnakw… zaidi »
Video: Birthday Party ya Producer Marco Chali usiku wa May 29 2016…
Lonny TZA katika MillardAyo.Com – Saa 5 zilizopita
[image: 20160530_164116] Usiku wa May 29 2016 Producer kutokea MJ Record Marco Chali amefanya Birthday Party Nyumbani kwake maeneo ya Mikocheni Jijini Dar es salaam, Party ambayo ilihudhuriwa na mastaa mbalimbali kutoka Bongoflevani, Ayo TV na millardayo.com ilifika eneo la tukio na nimekurekodia Full video kutoka kwenye Birthday Party ya Marco Chali. ULIMISS HII KAULI MPYA YA DIAMOND […] The post Video: Birthday Party ya Producer Marco Chali usiku wa May 29 2016… appeared first on MillardAyo.Com.
VIDEO: ‘Tulitarajia kutokea kwa tukio lililotokea Bungeni’-Mbunge Goodluck Mlinga
Msombe TZA katika MillardAyo.Com – Saa 5 zilizopita
[image: vlcsnap-2016-05-30-16h43m50s7] Headline za Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ilitangaza kuwafukuza jumla ya wanafunzi 7802 kutoka Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kufuatia mgomo wa Walimu unaoendelea hivi sasa zimeendelea kuchukua nafasi Bungeni Dodoma. Asubuhi ya May 30 2016 Baadhi ya Wabunge kutoka vyama tofauti walisimama Bungeni kuomba suala hilo kujadiliwa lakini ombi hilo halilikubalika […] The post VIDEO: ‘Tulitarajia kutokea kwa tukio lililotokea Bungeni’-Mbunge Goodluck Mlinga appeared first on MillardAyo.Com.
Msako wa mtoto aliyeachwa msituni na wazazi wake kama ‘Adhabu’ umefika siku ya tatu
Asteria Mvungi TZA katika MillardAyo.Com – Saa 5 zilizopita
[image: forestt] Adhabu ni sehemu ya maisha katika malezi ya watoto lakini imekuwa tofauti kwa wazazi hawa kutoka Japan ambao waliamua kumuadhibu mtoto wao mwenye umri wa miaka (7) Yamato Tanooka, kwa kumuacha katika msitu wa kisiwa cha Hokaido ambapo ni makazi ya wanyama pori baada ya kumkuta na kosa la kurushia mawe magari yaliyokua jirani yao. Kikosi cha waokoaji zaidi […] The post Msako wa mtoto aliyeachwa msituni na wazazi wake kama ‘Adhabu’ umefika siku ya tatu appeared first on MillardAyo.Com.
BONIFACE MKWASA: MECHI DHIDI YA MISRI NI FAINALI
saleh ally katika SALEH JEMBE – Saa 5 zilizopita
Kocha Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania, Charles Boniface Mkwasa amesema kwamba mchezo ujao kati ya Mapharao wa Misri na Taifa Stars, utakuwa ni fainali ya kuamua taifa litakalofuzu katika fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika AFCON hapo mwakani kutoka kundi G. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya mchezo kati ya Harambee Stars ya Kenya na Taifa Stars ya Tanzania Mei 29, 2016, uliofanyika Uwanja wa Moi Kasarani, Mkwasa maarufu kama Master anasema kwa msimamo na hali ilivyo kwa sasa, “Najua Misri wanatufuatilia. Na hata Kenya kwa siku zote tatu walikuwako. Najua Misri wa… zaidi »
LIGI YA MABINGWA WA MIKOA YAENDELEA KUTIMUA VUMBI MORO, SINGINA NA NJOMBE
saleh ally katika SALEH JEMBE – Saa 5 zilizopita
Michuano ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) msimu wa 2015/2016 inaendelea vizuri katika vituo vinne vya Kagera, Morogoro, Singida na Njombe ambapo itafikia tamati Juni 6 mwaka huu. Timu sita zitapanda daraja kucheza Ligi Daraja la Pili (SDL) msimu wa 2016/2017. Timu hizo ni zile zitakazoongoza kila kundi, na washindwa bora (best losers) wawili kutoka makundi mawili tofauti. Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeweka waangalizi wake katika kila kituo, na litawachukulia hatua watu wote watakaobainika kutumia michuano hiyo kuchafua viongozi. Mtwivila City ya Iringa inaong… zaidi »
AZAM FC WAFUNGUKA SUALA LA KIPRE TCHETCHE KWENDA YANGA
saleh ally katika SALEH JEMBE – Saa 5 zilizopita
Uongozi wa Azam FC umesisitiza suala la mshambuliaji wake Kipre Tchetche kusajiliwa na Yanga ni hadithi za mtaani. Msemaji wa Azam FC, Jaffar Iddi ‘Mbunifu’ amesema imekuwa kila msimu kuna taarifa za kusajiliwa kwa Tchetche na Yanga. Lakini hakuna hata kiongozi ambaye amewahi kuwasiliana na uongozi wa klabu hiyo. “Sijui nani anazusha haya mambo, Kipre ni mchezaji wa Azam FC. Hakuna timu inayoweza kumsajili pembeni zaidi ya kufuata utaratibu. “Kama ni kumhitaji, utaratibu unajulikana. Nisingependa kuzungumza mambo mengi kwa kuwa hatujawahi kusikia kiongozi wa Yanga mfano mwenyekiti… zaidi »
Man United wamefanya maamuzi mapya kuhusu hatma ya Marcus Rashford
Rama Mwelondo TZA katika MillardAyo.Com – Saa 5 zilizopita
[image: 113688] Klabu ya Manchester United ya Uingereza leo May 30 2016 imetangaza maamuzi mapya ambayo yatawapa furaha mashabiki wa klabu hiyo, Man United leo May 30 imetangaza kumpa mkataba wa miaka minne kinda aliyekuja kwa kasi Marcus Rashford. Man United wamempa mkataba huo wa miaka minne utakamuoweka staa huyo Old Trafford hadi June 2020, Rashford mara […] The post Man United wamefanya maamuzi mapya kuhusu hatma ya Marcus Rashford appeared first on MillardAyo.Com.
TFF imetangaza mchezaji bora mwezi leo May 30 2016
Rama Mwelondo TZA katika MillardAyo.Com – Saa 6 zilizopita
[image: sport-virtual-set-high-res-c4] Shirikisho la soka Tanzania TFF leo May 30 2016 kupitia ukurasa wake rasmi wa twitter na tovuti rasmi ya shirikisho hilo, wamemtangaza mshambuliaji wa JKT Ruvu Abdulrahman Musa kuwa ndio mchezaji bora wa mwezi May wa Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2017. Abdulrahman Musa amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo ya mchezaji bora wa mwezi kwa kuwazidi […] The post TFF imetangaza mchezaji bora mwezi leo May 30 2016 appeared first on MillardAyo.Com.
Uteuzi mwingine alioufanya Rais John Magufuli leo May 30 2016
Newsroom TZA katika MillardAyo.Com – Saa 6 zilizopita
[image: MAHHHHHH] Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali wa Serikali ambapo amemteua Jaji Shabani Ally Lila kuwa Jaji wa Mahakama ya Rufani. Kabla ya uteuzi huo Jaji Shabani Lila alikuwa Jaji Kiongozi, uteuzi huu umeanza leo tarehe 30 Mei, 2016. Wakati huo huo, Rais Magufuli amemteua Anne Semamba Makinda […] The post Uteuzi mwingine alioufanya Rais John Magufuli leo May 30 2016 appeared first on MillardAyo.Com.
CONFIRMED: Cristiano Ronaldo hatocheza mchezo dhidi ya England June 2 2016
Rama Mwelondo TZA katika MillardAyo.Com – Saa 7 zilizopita
[image: sIggTrG] Kocha wa timu ya taifa ya Ureno Fernando Santos leo Jumatatu ya May 30 2016, amenukuliwa na vyombo vya habari hususani dailymail akithibitisha kuwa katika mchezo wa kirafiki kati ya timu yake dhidi ya timu ya Uingereza utakaochezwa June 2 2016 katika uwanja wa Wembley Cristiano Ronaldo na Pepe hawatocheza. Fernando Santos amesema hayo kutokana […] The post CONFIRMED: Cristiano Ronaldo hatocheza mchezo dhidi ya England June 2 2016 appeared first on MillardAyo.Com.
VIDEO: Waziri Ndalichako katolea ufafanuzi kufukuzwa kwa wanafunzi wa UDOM
Msombe TZA katika MillardAyo.Com – Saa 8 zilizopita
[image: AW1A0886] Serikali kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi ilitangaza kuwafukuza jumla ya wanafunzi 7802 kutoka Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM) kufuatia mgomo wa Walimu unaoendelea hivi sasa. Waziri Joyce Ndalichako amesimama Bungeni leo kuongelea suala hilo. ULIIKOSA HII? ALICHOKIONGEA MBUNGE JOSHUA NASSARI BAADA YA BUNGE KUKATAA KUJADILI WANAFUNZI KUFUKUZWA CHUO Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa […] The post VIDEO: Waziri Ndalichako katolea ufafanuzi kufukuzwa kwa wanafunzi wa UDOM appeared first on EMANUEL G. KAVISHE 0766605392